Monday, August 5, 2013
18+ NDANI YA DARASA HURU: KWA VIGEZO HIVI KIDUME UTAPENDWA TU!!!!!!!!!!!!
Jana kulikua na kikao cha dharura na cha ndani ya TEAM TRUTH ambapo moja ajenda ilikua ni kunipongeza mimi (TEAM TRUTH 18+) kwa kazi nzuri ninayo ifanya na kwa ratiba ilikua nimalize session hii ya mapenzi jumatatu ila nikapewa muda zaidi hivyo kuamua leo kudondoka na hii kwa ajili ya mabrother wenzangu............................
watu wengi wamekua wakitafuta jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake na ni wazi kila mwanamke ana chaguo lake kwa mwanaume ampendae huendaa ukawa na vigezo kibao na bado akapenda vigezo vichache na ukabaki unashangaa why kantosa?
KWA MSAADA TEAM TRUTH 18+ NIMEAMUA KUDONDOKA NA VIGEZO 10 AMBAVYO NI KIVUTIO KWA WASICHA AU WANAWAKE WENGI.....................................................
wengi watajiuliza why not pesa? jibu ni rahisi sana imetokea mara nyingi mtu akapendwa tu bila kujali pesa na watu pia wakashangaa mbona hata sura hana? mchunguze mtu huyu kuna kigezo lazima kakuzidi na ukikigundua BELIEVE ME YOU WILL ALWAYS STAY CONNECTED WITH GIRLS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
1) kuwa na malengo yote ya muda mfupi na mrefu katika maisha yako na misimamo isiyo tingishika.
2) mwenye kujiamini.
3)mwenye kutunza siri na si mropokaji ovyo.
4) mcheshi (na hii kivutio kwa wasichana walio wengi)
5) hisia na uadilifu.
6) mwenye kusamehe tena na kusahau.
7) mwenye kujithamini.
8) mwenye utashi na upeo wa mambo.
9) huruma na heshima kwa wote wadogo na wakubwa
10) mwenye hadhi na mtanashati katika mambo yake ikiwemo uwezo binafsi wa upembuzi wa mambo.
Sunday, August 4, 2013
18+ NDANI YA DARASA HURU; USAGAJI (lesbianism) KWA WANAWAKE NA SABABU ZAKE. (VERY SENSITIVE IN TANZANIA HASA KWA MASTAAA)
SAMAHANI KWA PICHA HII
Usagaji (lesbianism) ni tabia ya wasichana/wanawake kujiridhisha kimapenzi wenyewe pasi kuhitaji kuridhishwa na mwanaume. Wasichana hawa hutumia vidole, ulimi na hata sex toys (dildo) kama zana wakati wa kufanya tendo hilo. Wengi wa wasichana wanaojihusisha na tabia hiyo hufurahia zaid tendo hilo tena kuliko hata wakifanya na wanaume na hivyo kuwafanya wajione kwamba hawana sababu ya kuwa na partners wa kiume. Zifuatazo hapa chini ni sababu ambazo kwa mtazamo wangu ambazo naziona ndio sababisho la wasichana wengi kujiingiza kwenye tabia hii na hata kuona ndiyo maisha yao.
Sababu hizo kwa mtazamo wangu ni hizi hapa
• Kuiga kutoka kwa wenzao: wengi wa wasichana ambao wamejikuta wanatabia hii wameiiga kwa wenzao, hasa wanapokuwa kwenye eneo ambalo wapo wenyewe kama vile shule hasa za bweni na maisha ya hosteli. Wasichana wengi ambao walisoma shule za bweni ama kuish maisha ya hosteli walijikuta wanafundishwa tabia hii na wenzao ambao tayari walikuwa wameshaanza tabia hizi toka kabla ya kuja shule.
• Kutaka kujiexplore: kwa kawaida watoto hupenda kujiexplore viungo vyako, yaani watoto wakiwa wadogo hutaka kujidadisi wawe wa kiume ama wa kike. Mfano mzuri watoto wa kiume wanapokuwa pamoja hata wakioga hujikuta wanachezeana sehem zao za siri hadi uume unasimama, like wise watoto wa kike hupenda kujidadisi kwa kucunguliana sehem zao za siri. Tabia hii kwa umri wa udogo huwa haina neon manake khuishia hapo lakini wapo wachache ambao tabia hii hawaiachi huiendeleza hadi ukubwani na hivyo kuwa ni sababisho la kujiingiza kwenye same sex plays.
• Hormonal make up: hii hutokana na jinsi binti alivyzaliwa. Kuna baadhi ya mabianti ambao wamezaliwa na hormone za kiume na hivyo kujikuta kwamba wanatabia za kiume. Wengi wa mabinti ambao wana tabia hizi kwenye mashule ya bweni huwa na desturi ya kuoa na hivyo kuitana mume na mke na wao huwa na tabia za kukaa kimapenzi mapenzi na hwa wanaowaita waume ama wake. Wasichana kama hawa huweza kuwashawishi sana wale ambao ni wasichana wa kawaida hadi kujikuta wanaanza tabia hii ya kusagana wakiwa mashuleni na wakisha ianza basi huwa siyo rahisi kuiacha mpaka nguvu nying zimetumika kumfanya aache.
• Raha itokanayo na tendo lenyewe: wengi wa wasichana /mabinti wanaoshiriki tendo hili huwa wanadai wanaridhika sana kimapenzi wanapofanya hivi ukilinganisha na wakiwa wanafanya na wanaume. Kutokana na tabia hii wengi wa wanwake ambao wako kwenye mahusiano ya kindoa hujikuta wanafanya hii tabia ili tu kuridhika kwasababu wanapofanya na jinsia ya kiume hawaridhiki.
• Maudhi ya mahusiano ya heterosexual, maudhi yatokanayo na mahusianoa ya jinsia mbili huwa yanawakinai wengi wa wasichana/ wanawake na hivyo kugeukia upande wa pili ambapo wanaamini kwamba hakuna maudhi hayo. Wanajua wazi kwamba wakiwa wenyewe watabembelezana, na kupeana raha zisizokuwa na maudhi.
• Umbali kutoka walipo wenzi wao: kuna tabia ambayo imeibuka siku hizi na kwa masiksitiko makubwa sana inafanywa na wanawake ambao wenzi wao wako mbali nao. Baadhi ya wanawake ambao waume zao wako mbali nao kwa mauda mrefu wamejikuta wakiwa na mahusiano na jinsia moja kwa kigezo kwamba hawataki kuwasaliti waume zao. Na kwamba wanataka waume zao wakirudi wawakute hawajatumika kabisa. Sikatai usaliti ni mbaya lakini hata huu wa jinsia moja nao ni usaliti tu.
Ikumbukwe kwamba mahusiano ya jinsia ya aina moja haimaaniash kwamba hayana maambukizi ya magonjwa kama HIV/AIDS and the like hivyo yeyote anayefanya hivi kwa kigezo kwamba anataka kujikinga na magonjwa anajiongopea na kwamba chances za infection huwa kubwa tu.
Pia ni kujidanganya sana kusema kwamba mapenzi ya jinsia moja ama ya usagaji ni matamu sana kwani huwa mwanaume akifundishwa kufanya kama vile ambavyo mwanamke msagaji anaweza kufanya basi mapenzi haya yatakuwa na raha kama kawaida. Haina maana kwamba mwanamke tu ndio anayeweza kutumia ulimi wake ama kidole chake ili kumpatia mwenzie raha, ila hata mwanaume pia anaweza kutumia vitu hivi na hivyo kumpatia raha mwenzie.
Pia tabia hii ya usagaji kwa wale ambao wanaifanya hasa pale waume zao wanapokuwa safarini, eti kisa wanataka waume wakirudi wawakute hawajazini wanajidaganya sana kwani kusagana na kuzini kwa kawaida kote ni kuzini hata kama hukuingiziwa kitu ndani ya uke. Kinacho determine kutokuwa mwaminifu ni kitendo cha usaliti iwe umezini na mtu mume ama mwanamke mwenzio. Hivyo usidanganye nafsi yako kwamba huwez kuzini na mwanaume kisa utamsaliti mumeo, ukasahau kwamba hata na huyo mwanamke mwenzio pia ni usaliti.
reference
Saturday, August 3, 2013
18+ NDANI YA DARASA HURU : SABABU KUU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA / MAPENZI (KUJAMIIAANA)
Matatizo ya kufanya mapenzi au kujamiana kwa wanawake yanatambulika kama tatizo linalojirudia kwa muda mrefu ambapo huathiri mzunguko wa tendo la kujamiana (kusisimka, kufikia kilele, kurudia) na hivyo kusababisha msongo wa mawazo au kuharibu uhusiano wa mwanamke na mpendwa wake. Tatizo hili huathiri asilimia 43 ya wanawake wa rika zote duniani na huonekana sana kwa wanawake wenye umri kati ya 45-64.
Visababishi vya tatizo hili kwa wanawake ni;
- KUSAGANA AU MAPENZI YA JINSIA MOJA KWA WANAWAKE.
- Msongo wa mawazo – Asilimia kubwa ya tatizo hili linaweza kutokea kutokana na msongo wa mawazo ambapo huchangiwa na ugumu wa maisha (uchumi), matatizo katika uhusiano (ugomvi, kutoelewana, kutoaminiana au kukosa uaminifu katika uhusiano {infedility} nk) na magonjwa mbalimbali.
- Kupungua au kukosekana upendo/mapenzi katika uhusiano au ndoa
- Kujifungua mtoto – Hii ni kutokana na homoni aina ya prolactin kuwa katika kiwango cha juu wakati mama ananyonyesha, homoni hii pia hufanya kazi ya kumfanya mtu kuridhika baada ya tendo la ndoa/kujamiana kwa kuingiliana na ufanyaji kazi wa homoni/kichocheo chengine kinachojulikana kama dopamine (ambayo ndio humfanya mtu kufikia kilele wakati wa kujamiana). Mbali na kunyonyesha, homoni ya prolactin pia huongezeka wakati mtu amelala (usingizi mzito au REM sleep), wakati wa alfajiri, baada ya kufanya mazoezi, kula,baada ya tendo la kujamiana, baada ya upasuaji mdogo na hata baada ya kupata degedege. Sababu nyengine ya kuongezeka kiwango cha kichocheo hiki cha prolactin ni kuwa na saratani katika ubongo (anterior pitituary tumors). Dalili za saratani hii ni pamoja na kutonyonyesha vizuri kwa mama, kukosa hedhi, ugumba kwa wanawake na uhanithi kwa wanaume(impotence).
- Kupungua mzunguko wa damu katika tupu ya mwanamke na hivyo kusababisha maumivu wakati wa kujamiana.
- Hypothyroidism – Matatizo ya homoni ya tezi la koo, huonekana sana kwa wanawake kuliko wanaume.
- Utumiaji wa vidonge vya kupanga uzazi au vya majira kwa muda mrefu
- Unywaji pombe kupindukia – Kinyume na fikira potofu za watu wengi ambao huamini kwamba unywaji pombe kali huongeza hamu ya kujamiana au kupunguza uzito lakini ukweli ni kwamba pombe kali au kilevi cha aina yoyote hupunguza hamu ya kujamiana na pombe huongeza uzito na kusababisha utapia mlo.
- Ugonjwa wa kisukari
- Uvutaji sigara
- Ujauzito – Kutokana na mabadiliko katika mfumo wa homoni au vichocheo wakati wa ujauzito, na pia kutokana na mabadiliko ya maumbile ya wanawake wakati huu na hivyo kuchangia kutojiamini kwa mwanamke.
- Uzito uliopitiliza (obesity)
- Ugonjwa wa mifupa (arthritis)
- Utumiaji madawa ya kulevya
- Madhara katika neva inayohusika na kuongeza msisimko wakati wa kujamiana (pudendal nerve damage) wakati wa upasuaji wa kuondoa mfuko wa uzazi kwa mwanamke mwenye matatizo ya uzazi au katika mfuko wa kizazi.
- Madhara ya dawa – Kama dawa za kutibu shinikizo la damu,antidepressant medication, dawa za saratani nK.
- Uchovu – Kuzidiwa kwa mwanamke na majukumu ya kulea mtoto/watoto, kazi na kumhudumia mume wake hivyo kusababisha uchovu.
- Ugonjwa wa moyo
- Saratani ya aina yoyote ile
- Kuwa na wasiwasi (anxiety), depression nk.
- Historia ya kubakwa, au kupata maumivu wakati wa kujamiana hapo awali kutokana na mwanamke kutokuwa tayari kujamiana au kutotayarishwa vyema kabla ya kujamiana au magonjwa ya zinaa.
- Tatizo la vaginismus – Hii ni tatizo ambalo husababisha tupu ya mwanamke kuwa ndogo wakati wa kujamiana na hivyo husababisha mwanamke kupata maumivu wakati wa kujamiana.
- Kupenda intaneti kupita kiasi (addiction) – Katika tafiti mpya iliyofanyika mwaka huu nchini marekani, imeonyesha ya kwamba kati ya ndoa 6,000 zilizovunjika asilimia 57 zimesababishwa na mwenza mmoja au wote kupenda kuchat au kutumia intaneti kupita kiasi na hivyo kusababishwa msisimko kupotea kati ya wenza wawili na hatimaye mwisho ni kupungua uwezo au hamu ya kujamiana.
Ni kundi gani la wanawake lililo katika hatari ya kukumbwa na tatizo hili?
- Wanawake ambao wana historia ya kupungua hamu ya kujamiana
- Wale ambao wamefanyiwa upasuaji wa kuondoa mayai yao ya uzazi kutokana na sababu mbalimbali
- Wanawake ambao waliofika umri wa kuacha kupata hedhi (menopause- miaka 42-58)) na kupata dalili mbalimbali kama kutokwa na jasho usiku, kukosa usingizi mzuri nadepression.
Friday, August 2, 2013
18+ NDANI YA DARASA HURU: MADHARA YA UPIGAJI PUNYETO
ATHARI za PUNYETO
Wanaume waliowengi hukidhi haja zao kwa kutuliza matamanio yao kwa njia ya kujichua/ kupiga punyeto bila kufahamu madhara yake: Nikweli punyeto inasaidia kupunguza hamu ya tendo na ni njia nzuri ya kujiepusha na zinaa kwa kujilinda na maradhi ila kiukweli ina madhara na madhara yake mara nyingi hutokea kwa mtu anaependelea sana kupiga punyeto, kutokana na utafiti uliofanywa kisayansi imeonekana punyeto ni nzuri kiafya ila endapo kama utakuwa unapiga mara moja moja na sio kila siku. Napenda kuwashauri watu wanaopiga punyeto wawe makini na wasiendekeze jambo hili kwani madhara yake ni makubwa sana na Athari zake kubwa ni hizi zifuatazo:
Wanaume waliowengi hukidhi haja zao kwa kutuliza matamanio yao kwa njia ya kujichua/ kupiga punyeto bila kufahamu madhara yake: Nikweli punyeto inasaidia kupunguza hamu ya tendo na ni njia nzuri ya kujiepusha na zinaa kwa kujilinda na maradhi ila kiukweli ina madhara na madhara yake mara nyingi hutokea kwa mtu anaependelea sana kupiga punyeto, kutokana na utafiti uliofanywa kisayansi imeonekana punyeto ni nzuri kiafya ila endapo kama utakuwa unapiga mara moja moja na sio kila siku. Napenda kuwashauri watu wanaopiga punyeto wawe makini na wasiendekeze jambo hili kwani madhara yake ni makubwa sana na Athari zake kubwa ni hizi zifuatazo:
1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inaregea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umeregea.
2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mpenzi wake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kusex.
Athari nyingine ni kama zifuatazo
3.Uchovu wakati wote
4.Maumivu ya nyonga
5.Kusinyaa kwa Nywele/Nywele kunyonyoka
6.Maumivu ya kende
7.Maumivu ya kiuno
Mpendwa wa safu hii hizo ni athari kuu 2 tu, ingawa ziko nyingi ila hizi nilizozitaja ni kwa uchache na ndio zinazo wakumba wanaume walio wengi. Ushauri wangu mimi kama wewe unapiga punyeto basi jitahidi usiwe unapiga kila siku atlist kwa wiki mbili mara moja endapo kama utajisikia hamu ya kusex kama huna mpenzi au ukishindwa acha kabisa.
3.Uchovu wakati wote
4.Maumivu ya nyonga
5.Kusinyaa kwa Nywele/Nywele kunyonyoka
6.Maumivu ya kende
7.Maumivu ya kiuno
Mpendwa wa safu hii hizo ni athari kuu 2 tu, ingawa ziko nyingi ila hizi nilizozitaja ni kwa uchache na ndio zinazo wakumba wanaume walio wengi. Ushauri wangu mimi kama wewe unapiga punyeto basi jitahidi usiwe unapiga kila siku atlist kwa wiki mbili mara moja endapo kama utajisikia hamu ya kusex kama huna mpenzi au ukishindwa acha kabisa.
Thursday, August 1, 2013
SOMA NI MUHIMU SANA SANA NA INASIKITISHA: KANSA YA NGOZI YAMHARIBU MTOTO WA MIAKA 7 VIBAYA SANA....
MTOTO Ashura Mustapha (7) mkazi wa Mwandege, wilayani Mkuranga, Pwani anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya ngozi tangu akiwa na mwaka mmoja.
Akizungumza na mwandishi wetu, baba mzazi wa mtoto huyo, Mustapha Makombe alisema: “Mwanangu anateseka sana jamani, ugonjwa ulianza kama malengelenge akiwa na umri wa mwaka mmoja tukawa tunakwenda hospitali ndogondogo lakini baadaye tukaamua kumpeleka Muhimbili ambapo tulipewa barua ya kutuelekeza kwenda CCBRT, kule ndipo wakagundua mwanangu ana kansa ya ngozi steji ya nne.
“Baada ya kuhangaika katika hospitali nyingi bila mafanikio, nikaamua kwenda Hospitali ya Regency (Dar) kuomba msaada wa kwenda kutibiwa India.
“Pale waliniambia nichangie shilingi milioni moja na laki tano kwa ajili ya tiketi na viza ili mwanangu akatibiwe India, hizo hela mimi sina. Naomba Watanzania mnisaidie hata kwa fedha za mitandao kwa namba 0769 517765 na 0715 424697 ili niweze kumpeleka mwanangu India akatibiwe,” alisema baba mzazi.
REFERENCE
Akizungumza na mwandishi wetu, baba mzazi wa mtoto huyo, Mustapha Makombe alisema: “Mwanangu anateseka sana jamani, ugonjwa ulianza kama malengelenge akiwa na umri wa mwaka mmoja tukawa tunakwenda hospitali ndogondogo lakini baadaye tukaamua kumpeleka Muhimbili ambapo tulipewa barua ya kutuelekeza kwenda CCBRT, kule ndipo wakagundua mwanangu ana kansa ya ngozi steji ya nne.
“Baada ya kuhangaika katika hospitali nyingi bila mafanikio, nikaamua kwenda Hospitali ya Regency (Dar) kuomba msaada wa kwenda kutibiwa India.
“Pale waliniambia nichangie shilingi milioni moja na laki tano kwa ajili ya tiketi na viza ili mwanangu akatibiwe India, hizo hela mimi sina. Naomba Watanzania mnisaidie hata kwa fedha za mitandao kwa namba 0769 517765 na 0715 424697 ili niweze kumpeleka mwanangu India akatibiwe,” alisema baba mzazi.
REFERENCE
Wednesday, July 31, 2013
KUELEKEA UCHAGUZI 2015: SHEIKH PONDA ISSA PONDA APENDEKEZWA KUGOMBEA URAIS
Ikiwa imebakia miaka miwili kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge hapa nchini,baadhi ya waumini wa kiislamu wameanza kupendekeza wagombea wa urais wanaoona kuwa wanafaa ambapo jina la Sheikh Ponda Issa Ponda limeongoza....
Mapendekezo hayo yamedhihirika katika mihadhara kadhaa anayoifanya Ponda katika mikoa mbalimbali nchini,ambako amekuwa akipendekezwa na kushauriwa na waumini agombee nafasi hiyo.....
Walianza waumini wa msikiti mkuu wa Ijumaa wa Arusha alipokuwa kwenye ziara mkoani humo ambapo muumini mmoja alisimama na kusema kwamba kwa mawazo yake anaona Ponda anafaa kugombea nafasi ya urais kwa vile anaamini kuwa uwezo wa kuongoza anao..
Alisema mbali na uwezo pia yuko makini katika kusimamia jambo lolote lenya maslahi kwa waislam na kwamba mtu wa namna hiyo atafanya vyema zaidi akipewa dhamana ya kuongoza nchi....
Inaelezwa kuwa Ponda alipotembelea Zanzibar alipata wakati mgumu wa kuwakataa waislam waliojitokeza kumlaki katika misikiti ya Mpendae na Mbuyuni ambako alifanya mihadhara na kupendekezwa kugombea urais kwa kura nyingi na waumini ....
Kufuatia kusikika kwa mapendekezo hayo,Kisiwa lilimtafuta Ponda ili kusikia maoni yake juu ya maombi ya waislam kumtaka agombee urais.
"Sikuwa na fikra hiyo hata mara moja,lakini maadam limeletwa nami ni kiongozi wa taasisi ninawashukuru waliofikiria hivyo...
"Kwa sasa siwezi kuzungumza lolote kuhusu hilo, ntalifikisha katika taasisi na maulana ndio watakaolitazama na kutoa uamuzi." Alisema Sheikh Ponda
Ponda alisema kuwa inawezekana waumini wakawa na mtazamo huo lakini viongozi wakawa na mtazamo tofauti kabisa,hivyo akawataka waumini kuwa na subira katika hilo.
REFERENCE
Tuesday, July 30, 2013
SOMA MUHIMU SANA.............BIDHAA 48 HAZITAKIWI SOKONI TBS IMETHIBITISHA.
Shirika la Viwango (TBS) limetangaza orodha ya bidhaa 48 ambazo hazitakiwi kuwepo sokoni kutokana na muda wa kuitumia nembo ya kampuni hiyo katika bidhaa zao kumalizika na wahusika kushindwa kuwasilisha bidhaa zao kwa ajili ya uhakiki kabla ya kuruhusiwa tena.
Hatua hiyo ya TBS inatokana na watengenezaji wa bidhaa hizo ambazo awali zilithibitishwa na TBS na kuruhusiwa kutumia nembo yao hiyo ya ubora kumalizika na wahusika kushindwa kuwasiliana na shirika hilo kwa ajili ya uhakiki wa bidhaa zao hizo.
Ofisa Uhusiano wa TBS, Rhoida Andusamile aliliambia Mwananchi kuwa bidhaa hizo kuanzia hivi sasa hazitakiwi kuonekana sokoni na msako utaanza wakati wowote kuziondoa na zile ambazo zitakamatwa wahusika watachukuliwa hatua kali za kisheria.
“Tumetoa tangazo lakini kabla ya hapo tuliwapa muda wawe wameleta bidhaa zao kwa ajili ya kuhakikiwa kabla ya kuruhusiwa kuendelea kutumia nembo yetu,akini wamekaidi ndio maana tumewatangazia kama utaratibu unavyoagiza” alisema Rhoida.
Bidhaa ziliazoainisha katika tangazo hilo ni pamoja na majina ya watengenezaji /wasambazaji katika mabano ni pamoja na karatasi laini ‘tissue’ za Alawi Supplies ya Zanzibar, Milk Marie Biscut za Britania, Maji ya Great Zone, Mishipi na nyavu za kuvulia samaki za Imara Fishnet, maji ya Raha na fulana za Kibo Trade.
Bidhaa zingine ni matofali ya GM Gross, taulo za watoto za Hengan Sanitary, baadhi ya rangi za Chui, beteri za Dry Cell, magodoro ya Jumbo foam, sabuni za Mbasira Investment ya Shinyanga, mifuko ya plastiki ya Centaza na mafuta ya kupikia ya Sun Flower Seed (Sun Shine) na korosho zinazosambazwa na Frabho Enterprises.
Pia taulo za wanawake za Sythentic Detergent (ARIEAL) za Procter&Gambler, mifuko ya B-Twill Jute na A-Twill, mifuko ya plastiki ya Tropical, mafuta ya kupikia ya Sun Flower ya A TO Z Oil Mills, Korosho za Munawar ya Mbeya, Sabuni za kunawia za Brite Chemicals, pipi, lawalawa, mipira ya kutafuna ya rangi mbili.
Vilainisha vya injini (Saud Oil) za Star Composed, betri za 777 kutoka China, maji ya kunywa ya Shia yanayotengenezwa na Siha Beverage, mtindi wa Morani Dairy ya Tanga, pikipiki za Star Shineray, vigae vya Mbezi, sabuni ya Liquid Detergent, mbao zilizotiwa dawa za Mombo, Jam iliyochanganywa ya Les Group ya Musoma.
Orodha hiyo pia inataja Jusi za nanasi za Unnat Fountain ya Morogoro, Maji Uluguru, springi za magari za kampuni ya TASIA, Gypsum zinazotengenezwa na Tanzania Gypsum ya Dar es Salaam, Maji ya Uzima, magodoro ya Plyfoam,Mvinyo wa nanasi wa Kivumbui ya Arusha na mabati ya RD Roofing & Wire Product.
Bidhaa zingine ni unga wa sembe wa Kweniml ya Machame Kilimanjaro, boriti za Ravji Manufacturing, mafuta ya breki za magari ya Automotive Packed ya Dar es Salaam, maJi ya kunywa ya AAMFA, pikipiki za Foshan Fost za China na mvinyo wa matunda wa Victoria Food Product ya Mara pia Jibini, mtindi na maziwa ya Kyaka Milk Processing , Sabuni za kufulia za Jamii za Kampuni ya Mbasira ya Shinyanga.
SIKILIZA NA DOWNLOAD:.. WISE ONE ft JACO BEATS - MALAIKA (PEREMENDE MUSIC EMPIRE)
Produced by JACO BEATS, PEREMENDEE MUSIC EMPIRE BADO WANAENDELEZA UBABE KANDA YA KATI NA HII NI NGOMA YAO MPYA.
BOFYA HAPA KUDOWNLOAD
BOFYA HAPA KUDOWNLOAD
WHY ALWAYS CLOUDS FM!!!!!!!!...."SINA MPANGO WA KUAJIRIWA NA "K....MA" YOYOTE.... (MWISHO MWAMPAMBA)
HALI SI SHWARI KATI YA KITUO CHA MATANGAZO CHA CLOUDS FM NA MWISHO MWAMPAMBA.........
Mwisho Mwampamba amegeuka mbogo na kufurumua matusi ya nguoni kwa Clous Fm baada ya kituo hicho kuanza kumjadili na kumchambua...
Mwampamba, ambaye ni staa namba mbili wa shindano la big brother mwaka 2003 anadai kutoridhishwa na kitendo cha Cloud fm kuanza kumjadili...
Staa huyo amedai kwamba yeye anamaisha yake na hivyo haoni haya ya kuanza kufuatiliwa kwa kuwa hana mpango wa kuomba ajira kwa yeyote...
"Clouds fm siwaelewi mnatafuta nini . Nahisi mnatafuta kupakazwa mafuta ya ubuyu . Tafadhali kusaga naona heshima inapungua .
"Had mifugo yako hujawalea vizuri . Mimi sio msanii na pia sita ajiriwa na k**ma wowote yule . Stay away from me n my family.Ameandika staa huyo katika account yake ya facebook
SIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA HII:...... A-TOWN HAITAWALIKI- KAPUKU DIGITAL
Ukipata nafasi ya kusikiliza nyimbo hii utagundua kitu kutoka arusha ndani yake yameongelewa mengi sikiliza mwenyewe............
BOFYA HAPA KUDOWNLOAD
Monday, July 29, 2013
TEAM TRUTH TUNAOMBA RADHI KWA POSTI ILIYOPITA "KUHUSU KUAPDATE ACCAUNT YA MIKOPO'
Tunaomba radhi kwa posti ya kuapdate mikopo iliyo tolewa leo...................... upotoshaji huo umefanywa na moja ya team member wetu baada kusikia habari hizo tangu asubuhi kama ADMIN wa team truth naomba radhi na nachukua nafasi hii kusema kwa wanotakiwa kuapdate na wale tu ambao hawakupata nafasi tya kuupdate mwanzo account zao mwanzo................... POSTI HIYO KWA SASA HAIPO.
TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA NA KEEP IN TOUCH
TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA NA KEEP IN TOUCH
Subscribe to:
Posts (Atom)