Saturday, August 10, 2013

NEW MNIMBO GENERAL ENTERPRISES LIMITED



NEW MNIMBO GENERAL ENTERPRISES LIMITED         

P.O BOX 105018  Dar es Salaam Tanzania 
Cell: 0767 203691   / 0784 20369   /  0719 965074 / 0754 309346



                                                          COMPANY -PROFILE 

new  mnimbo General Enterprises Limited  was established in 2011. It is situated in Temeke district Dar es Salaam .  New  mnimbo General Enterprises Limited has a reputation for its reliability of server delivery in engineering and fabrication industries. New Mnimbo General Enterprises supply precision tooling to the industries including Verniers standard, Dial and digital and specialized gear tooth micrometers standards and Digital and specialized.

Thread and bore, cutting tools including High speed steel and amp ; Solid carbide power saw Blades.

New Mnimbo General Enterprises Limited also supply a variety to tungsten carbide inserts to the manufacturing. New Mnimbo General Enterprises Limited tools include General hand tools, Workshop tools in including Hydraulic pneumatic and mechanic maintenance and  power tools.

PRODUCT & SERVICES 

>eletrical power transformers
>fasteners, bolt nuts ,rivets & washers 
> firefighting & rescue equipments
>footware
>General Eletrical Equipment 
>Greases
>Hose Fittings 
>Lifting taccle & attachment
>Hydralics & Pneuamatics 
>Machine tools 
> Material Handling Equipment 
> Non- Ferrous metals 
>.power tools
>Pulleys 
>Pumps 
>Safety Equipment & Clothing 
.>Tool die & Drill Steel
>Washing, Screening & Cleaning Plant Equipment 
>Welding & Flame cutting equipment
>Wire ropes & steel cables 
>Hardware
>Adhesives
>bearing 
>belting require sites
.>Boilers , steam generators & super heaters


SHEIKH APIGWA PANGA SWALA YA IDD



na Ibrahim Yassin

 SHEIKH Mkuu wa Wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya Nuhu Mwafilango, ameshambuliwa na kujeruhiwa kwa panga baada ya kuzuka kwa vurugu katika msikiti mkuu wa wilaya ya Kyela. Vurugu hizo zilisababisha kujeruhiwa vibaya kwa watu wengine watatu baada ya kushambuliwa kwa mapanga na visu.

 Mashuhuda wa tukio hilo wameiambia Tanzania Daima kuwa vurugu hizo zinazoaminika kuwa ni za kugombea madaraka, zilizuka majira ya saa mbili asubuhi jana wakati sheikh huyo akiongoza ibada ya Idd el Fitri katika msikiti huo. Imedaiwa kuwa kundi la vijana likiongozwa na mwanafunzi mmoja wa shule ya sekondari ya kutwa ya Kyela (jina limehifadhiwa) alimshambulia kiongozi huyo kwa panga na kusababisha vurugu kubwa.

 Imeelezwa kuwa kikundi hicho cha vijana ambao baadhi yao wanadaiwa kukodiwa kutoka katika misikiti ya mikoa jirani, wakiwa na mapanga, nondo na visu walianza mashambulizi hayo, na ndipo wakakumbana na hasira za waumini wengine waliokuwa wamejiandaa kukabiliana na mashambulizi hayo. Mmoja wa vijana waliojeruhiwa vibaya kichwani ametajwa kwa jina la Hamis Hussein ambaye alipambana na vijana walioanza kumshambulia sheikh huyo. Imedaiwa kuwa kulikuwa na fununu za kuzuka kwa mapigano hayo, hatua iliyofanya uongozi wa msikiti kutoa taarifa polisi ambao walijipenyeza katika swala hiyo ya Idd.

 Wengine waliojeruhiwa vibaya ni mmoja aliyetajwa kwa jina la Magogo anayetuhumiwa kuchochea vurugu na mapigano hayo katika kile kilichoelezwa jitihada za kuwaondoa viongozi walioko msikitini na kuwadhamini vijana ambao wanadaiwa kuwa ni waasi wa msikiti huo.

Akizungumza na Tanzania Daima Mwenyekiti wa BAKWATA Wilaya ya Kyela Daud Mwenda alisema kuwa kikundi hicho kinapingana na uongozi uliopo msikitini hapo hivyo wanataka kushinikiza waumini wengine waupindue uongozi uliopo. Mganga wa zamu katika Hospitali ya Wilaya ya Kyela ambaye hakutaka kutaja jina lake alikiri kupokea majeruhi watatu waliotokana na vurugu hizo. Kwa upande wake Afisa Tarafa ya Unyakyusa Helly William alisema kuwa ofisi yake imepokea taarifa za vurugu katika msikiti huo na kudai kuwa jambo hilo limewasikitisha sana kama viongozi wa serikali.

William alisema msikitini sio mahali pa kufanyia vurugu bali eneo takatifu linalotumiwa na watu kumuabudu Mungu.
RESPECT TANZANIA DAIMA

Friday, August 9, 2013

BREAKING NEWS:::: MILLIONI 10 KWA ATAKAE FANIKISHA KUKATWA KWA WAHUSIKA WA TINDIKALI ZANZIBAR......





Polisi nchini Zanzibar wameahidi kutoa zawadi ya shilingi milioni 10 za Tanzania kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa kwa watu waliowashambulia wasichana wawili waingereza kwa Tindikali.
Wasichana hao kutoka London, Kirstie Trup na Katie Gee, walirushiwa Tindikali kwenye nyuso zao walipokuwa wanatembea mjini Jumatano Jioni.

Polisi wanasema kuwa hizo ni pesa nyingi sana kisiwani Zanzibar.
Serikali ya Zianzibar ndio itakayotoa zawadi hiyo.
Kirstie Trup na Katie Gee, wote wenye umri wa miaka 18 kutoka London, walipelekwa hospitalini nchini Tanzania baada ya kushambuliwa Mashariki mwa kisiwa hicho.
Inaaminika kuwa walitoka Tanzania kuelekea Uingereza Alhamisi usiku.
Mama za wasichana hao, Rochelle Trup na Nicky Gee, walielezea kughadhabishwa mno na shambulizi hilo ambalo sababu yake haiwezi kujulikana na ambalo halikuchochewa kivyovyote. Walishambuliwa na wanaume wawili waliokuwa kwenye pikipiki.
Polisi walisema kuwa walirushiwa Acid kwenye nyuso zao, kifuani na kwenye mikono yao walipokuwa wanatembea mjini .
Mwandishi wa BBC anasema kuwa waliowashambulia walitoroka na polisi hawajui kwa nini wanawake hao walilengwa.
Mama za wasichana hao walisema kwenye taarifa yao kuwa walighadhabishwa mno na shambulizi hilo na hawaelewi kwa nini wasichana hao walishambuliwa ili hali walikwenda Zanzibar kwa nia njema.

'Tunashukuru kwa wale wanaotaka kujua kinachoendelea lakini tungeomba vyombo vya habari vituwache kwa sasa hadi tutakapokutana na watoto wetu,'' alisema msemaji wa familia za wasichana hao.
Wasichana hao walikuwa wamekaa Zanzibar kwa muda wa wiki mbili ingawa walitarajiwa kuwa huko kwa wiki tatu, kupitia kwa kampuni ya usafiri ya i-to-i Travel, ambayo ilisema inafanya kila iwezalo kuwarejesha nyumbani Uingereza.
Kari Korhonen, mkurugenzi mwenza wa kampuni ambayo wasichana hao walikuwa wanafanyia kazi, alisema kuwa hali yao si mbaya ikizingatiwa athari za Acid kwa mwili na visa ambavyo vimewahi kushuhudiwa vya kuchomwa kwa Tindikali
Msemaji mwingine aliongeza kuwa wasichana hao walikuwa njiani kuelekea kwa maankuli ya jioni wakati wa shambulizi hilo.

Thursday, August 8, 2013

HII KALI: WANAUME WA KIAFRIKA WANAONGOZA KUWA NA UUME MKUBWA....





Kwa sababu ambazo binafsi sizielewi, mwanasayansi mmoja kutoka nchini Ireland aliamua 

kufanya “utafiti” wa kulinganisha wastani wa ukubwa wa uume wa watu wa nchi mbalimbali. Alifanya utafiti huo kwa kulinganisha mataifa 113, ambapo wanaume wa Afrika ndio waliongoza kwa ukubwa na Waasia walikua wa mwisho.


Utafiti huo ulifanywa na Profesa wa saikolojia, Richard Lynn, wa Chuo Kikuu cha Ulster na utachapishwa katika jarida la kisayansi la Personality and Individual Differences. Profesa huyo alisema matokeo ya utafiti wake yamethibitisha nadharia ya awali kuhusu mahusiano ya urefu wa uume, ya kwamba Negroids(watu weusi) ndio wanaoongoza kwa ukubwa wa wastani wa uume, na Mongoloids (Waasia) ndio wana wastani mdogo kuliko watu wote.


Top 4 kati ya nchi zote 113
1. Congo ndio wanaoongoza kwa urefu wa wastani wa uume ambao ni inchi 7.1
2. Ecuador kwenye wastani wa inchi 7.0, 
3. Waghana inchi 6.8; na 
4. Raia wa Colombia inchi 6.7.


Katika wanaume wa Ulaya, 
1. Wataliano ndio walioongoza na wastani wa inchi 6.2
2. Ugiriki inchi 5.8 
3.Ujerumani inchi 5.7
4. Waingereza inchi 5.5 , na 
5. Wafaransa, inchi 5.3
Walioongoza kwa udogo katika mataifa yote yaliyofanyiwa utafiti ni Korea zote mbili (Kaskazini na Korea ya Kusini) ambao wote kipimo chao, ni wastani wa inchi 3.8. 
Swali je Tanzania tupo wangapi?


USHAHIDI

DIVA WA CLOUDS FM TENA......... "SIJAWAHI ONA MWANAUME MZURI KAMA PREZZO HAPA DUNIANI"

Kwa  mara  nyingine  tena,  mtangazaji  wa  Clouds fm  maarufu wa  jina  la  DIVA  amejitosa Istagram  na  kuanza  kuisifia  suruali yake ( Prezzo)  huku  akiwaponda  wanaume  wa  kibongo  na  wale  wote  wanaomchukia  Prezzo....


HUU NDO UJUMBE WAKE KWENU

“The way my heart beats for u Mentiond of your name, One touch never enough you driving me Insane, swing me take you back, who am i to blame but myself, need you back in my life simple and plain, Crazy nights arguments running towards the door, lying to myself that I don’t wanting you no more. 


"No matter what we been through You’re the only man that I adore… you are the only one I need in this world.. see People use to tell me I was Crazy, told me not to give in, told me that you would never love me all I did is pretend.

"I told them to mind their business Cause they are not in my Position… when I said I was in love… they said with that UGLY face ‘ girl you tripping… 

"I cut the negativity cut the haters off and I got into my man… coz I take him for all he is.. and he takes me as I am. 


"The way I feel about him is God’s Perfect plan. Everyone know I am his girl……he is the Only One I need. habari ndio hiyo. Sibadiliki and haachwi mtu.”

EID MUBARACK...................

Team Truth inawatakia Watanzania wote Eid MUBARACK AMANI NA UPENDO VIWATANGULIE WOTE..........

Wednesday, August 7, 2013

NGOMA MPYA: MABESTE ft PETER MSECHU - NISHAURI DOWNLOAD HAPA

DOWNLOAD HAPA

SABABU ZA KIBIASHARA ZAIHAMISHIA BONGO STAR SEARCH (BSS) TBC1!!!!!!

Epiq Bongo Star Search ya mwaka 2013 haitaoneshwa tena kupitia ITV. Mwaka huu shindano hilo la kusaka vipaji vya kuimba litakuwa likioneshwa kupitia TBC1. 


Kupitia Facebook, Rita Paulsen aka Madam Rita ambaye ni mwanzilishi na jaji mkuu wa shindano hilo ametoa sababu mbili za kuhamisha matangazo hayo kutoka ITV hadi TBC1.


“Baada ya kusoma maoni yenu, ningependa kufafanua sababu mbili za kurusha Epiq Bongo Star Search 2013 kupitia kituo cha Televisheni cha TBC1. 


Kwanza kabisa ni sababu za kibiashara ndio zimepelekea kipindi cha EBSS kurushwa kupitia TBC1 na sababu ya pili ni kwamba baada ya kwenda kidigitali, TBC1 sasa inapatikana kwenye ving’amuzi karibia vyote vikiwemo Star Times, DSTV na Zuku.”

Monday, August 5, 2013

18+ NDANI YA DARASA HURU: KWA VIGEZO HIVI KIDUME UTAPENDWA TU!!!!!!!!!!!!





Jana kulikua na kikao cha dharura na cha ndani ya TEAM TRUTH ambapo moja ajenda ilikua ni kunipongeza mimi (TEAM TRUTH 18+) kwa kazi nzuri ninayo ifanya na kwa ratiba ilikua nimalize session hii ya mapenzi jumatatu ila nikapewa muda zaidi hivyo kuamua leo kudondoka na hii kwa ajili ya mabrother wenzangu............................


watu wengi wamekua wakitafuta jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake na ni wazi kila mwanamke ana chaguo lake kwa mwanaume ampendae huendaa ukawa na vigezo kibao na bado akapenda vigezo vichache na ukabaki unashangaa why kantosa?

KWA MSAADA TEAM TRUTH 18+ NIMEAMUA KUDONDOKA NA VIGEZO 10 AMBAVYO NI KIVUTIO KWA WASICHA AU WANAWAKE WENGI.....................................................

wengi watajiuliza why not pesa? jibu ni rahisi sana imetokea mara nyingi mtu akapendwa tu bila kujali pesa na watu pia wakashangaa mbona hata sura hana? mchunguze mtu huyu kuna kigezo lazima kakuzidi na ukikigundua BELIEVE ME YOU WILL ALWAYS STAY CONNECTED WITH GIRLS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1) kuwa na malengo yote ya muda mfupi na mrefu katika maisha yako na misimamo isiyo tingishika.

2) mwenye kujiamini.

3)mwenye kutunza siri na si mropokaji ovyo.

4) mcheshi (na hii kivutio kwa wasichana walio wengi)

5) hisia na uadilifu.

6) mwenye kusamehe tena na kusahau.

7) mwenye kujithamini.

8) mwenye utashi na upeo wa mambo.

9) huruma na heshima kwa wote wadogo na wakubwa

10) mwenye hadhi na mtanashati katika mambo yake ikiwemo uwezo binafsi wa upembuzi wa mambo.


Sunday, August 4, 2013

18+ NDANI YA DARASA HURU; USAGAJI (lesbianism) KWA WANAWAKE NA SABABU ZAKE. (VERY SENSITIVE IN TANZANIA HASA KWA MASTAAA)


SAMAHANI KWA PICHA HII

Usagaji (lesbianism) ni tabia ya wasichana/wanawake kujiridhisha kimapenzi wenyewe pasi kuhitaji kuridhishwa na mwanaume. Wasichana hawa hutumia vidole, ulimi na hata sex toys (dildo) kama zana wakati wa kufanya tendo hilo. Wengi wa wasichana wanaojihusisha na tabia hiyo hufurahia zaid tendo hilo tena kuliko hata wakifanya na wanaume na hivyo kuwafanya wajione kwamba hawana sababu ya kuwa na partners wa kiume. Zifuatazo hapa chini ni sababu ambazo kwa mtazamo wangu ambazo naziona ndio sababisho la wasichana wengi kujiingiza kwenye tabia hii na hata kuona ndiyo maisha yao.
Sababu hizo kwa mtazamo wangu ni hizi hapa

• Kuiga kutoka kwa wenzao: wengi wa wasichana ambao wamejikuta wanatabia hii wameiiga kwa wenzao, hasa wanapokuwa kwenye eneo ambalo wapo wenyewe kama vile shule hasa za bweni na maisha ya hosteli. Wasichana wengi ambao walisoma shule za bweni ama kuish maisha ya hosteli walijikuta wanafundishwa tabia hii na wenzao ambao tayari walikuwa wameshaanza tabia hizi toka kabla ya kuja shule. 


 Kutaka kujiexplore: kwa kawaida watoto hupenda kujiexplore viungo vyako, yaani watoto wakiwa wadogo hutaka kujidadisi wawe wa kiume ama wa kike. Mfano mzuri watoto wa kiume wanapokuwa pamoja hata wakioga hujikuta wanachezeana sehem zao za siri hadi uume unasimama, like wise watoto wa kike hupenda kujidadisi kwa kucunguliana sehem zao za siri. Tabia hii kwa umri wa udogo huwa haina neon manake khuishia hapo lakini wapo wachache ambao tabia hii hawaiachi huiendeleza hadi ukubwani na hivyo kuwa ni sababisho la kujiingiza kwenye same sex plays.

• Hormonal make up: hii hutokana na jinsi binti alivyzaliwa. Kuna baadhi ya mabianti ambao wamezaliwa na hormone za kiume na hivyo kujikuta kwamba wanatabia za kiume. Wengi wa mabinti ambao wana tabia hizi kwenye mashule ya bweni huwa na desturi ya kuoa na hivyo kuitana mume na mke na wao huwa na tabia za kukaa kimapenzi mapenzi na hwa wanaowaita waume ama wake. Wasichana kama hawa huweza kuwashawishi sana wale ambao ni wasichana wa kawaida hadi kujikuta wanaanza tabia hii ya kusagana wakiwa mashuleni na wakisha ianza basi huwa siyo rahisi kuiacha mpaka nguvu nying zimetumika kumfanya aache.


• Raha itokanayo na tendo lenyewe: wengi wa wasichana /mabinti wanaoshiriki tendo hili huwa wanadai wanaridhika sana kimapenzi wanapofanya hivi ukilinganisha na wakiwa wanafanya na wanaume. Kutokana na tabia hii wengi wa wanwake ambao wako kwenye mahusiano ya kindoa hujikuta wanafanya hii tabia ili tu kuridhika kwasababu wanapofanya na jinsia ya kiume hawaridhiki.

• Maudhi ya mahusiano ya heterosexual, maudhi yatokanayo na mahusianoa ya jinsia mbili huwa yanawakinai wengi wa wasichana/ wanawake na hivyo kugeukia upande wa pili ambapo wanaamini kwamba hakuna maudhi hayo. Wanajua wazi kwamba wakiwa wenyewe watabembelezana, na kupeana raha zisizokuwa na maudhi.



• Umbali kutoka walipo wenzi wao: kuna tabia ambayo imeibuka siku hizi na kwa masiksitiko makubwa sana inafanywa na wanawake ambao wenzi wao wako mbali nao. Baadhi ya wanawake ambao waume zao wako mbali nao kwa mauda mrefu wamejikuta wakiwa na mahusiano na jinsia moja kwa kigezo kwamba hawataki kuwasaliti waume zao. Na kwamba wanataka waume zao wakirudi wawakute hawajatumika kabisa. Sikatai usaliti ni mbaya lakini hata huu wa jinsia moja nao ni usaliti tu.

Ikumbukwe kwamba mahusiano ya jinsia ya aina moja haimaaniash kwamba hayana maambukizi ya magonjwa kama HIV/AIDS and the like hivyo yeyote anayefanya hivi kwa kigezo kwamba anataka kujikinga na magonjwa anajiongopea na kwamba chances za infection huwa kubwa tu.


Pia ni kujidanganya sana kusema kwamba mapenzi ya jinsia moja ama ya usagaji ni matamu sana kwani huwa mwanaume akifundishwa kufanya kama vile ambavyo mwanamke msagaji anaweza kufanya basi mapenzi haya yatakuwa na raha kama kawaida. Haina maana kwamba mwanamke tu ndio anayeweza kutumia ulimi wake ama kidole chake ili kumpatia mwenzie raha, ila hata mwanaume pia anaweza kutumia vitu hivi na hivyo kumpatia raha mwenzie.

Pia tabia hii ya usagaji kwa wale ambao wanaifanya hasa pale waume zao wanapokuwa safarini, eti kisa wanataka waume wakirudi wawakute hawajazini wanajidaganya sana kwani kusagana na kuzini kwa kawaida kote ni kuzini hata kama hukuingiziwa kitu ndani ya uke. Kinacho determine kutokuwa mwaminifu ni kitendo cha usaliti iwe umezini na mtu mume ama mwanamke mwenzio. Hivyo usidanganye nafsi yako kwamba huwez kuzini na mwanaume kisa utamsaliti mumeo, ukasahau kwamba hata na huyo mwanamke mwenzio pia ni usaliti.

reference