Saturday, September 7, 2013

Bizness gal VIDEO MAKING YAKE Andre K ft Slogan (MUCH CREDIT TO Director: Backamaza)

Photo: video director Erick Backamaza,BAADA YA KIMYA KIREFU NIMERUDI KIIVI...kwani me na tatizo na Mtu? We subiri mda ndo utasema
hiyo ni sub insert ya msanii SOMETIMEZ na hit yake 2Late,location ilikuwa ni HIP HOP DOPE song Bzness Gal yakwake Andre Kim na Slogan Fanya kunipa TIME NIFANYE YANGU af tuone ujio huu

Photo: NAFARIJIKA SANA PALE NAPO 
DHARAULIKA KWA WACHACHE WANAO NIJUA,HUKU IKINIPA NAFASI YA KUHESHIMIKA 
KWA WENGI WASIO NIJUA" Aluta Kontinua
Backamaza,2013



Hizi ni baadhi ya picha katika kuifanya screen ya TV yako ing'ae..... video ipo directed na BACKAMAZA. KAENI MKAO WA KUKU

Miaka 55 ya uigizaji, aeleza alivyopata jina la Majuto


Katika magazeti ya Mwananchi Wikiendi, tutakuletea mfululizo wa makala kuhusu mchekeshaji na mwigizaji nguli nchini Amri Athumani maarufu King Majuto, ambapo kwa kuanzia anaeleza alivyoanza kazi hiyo hata kuitwa Majuto. Endelea...
Umaarufu wa mtu hauji bila kuwepo sababu, kisa au chanzo hata kumfanya mhusika kutambulika na kujulika katika eneo fulani, jamii hata taifa.
Hili huwatokea watu katika fani au tasnia mbalimbali mfano siasa, uanaharakati, mchezo wa soka, filamu na maigizo.
Ndivyo ilivyo kwa Amri Athumani maarufu King Majuto, ambaye ni mwingizazi na mchekeshaji maarufu nchini anayetambulika na kutajwa kirahisi hata na watoto katika Tanzania hata nje ya mipaka yake.
Kwa maelezo yake, King Majuto amekuwa mwigizaji wa vichekesho kwa miaka 55 sasa, akijivunia mafanikio makubwa na kutambuliwa hata kimataifa.
Umaarufu wake ndiyo uliomsukuma mwandishi wa makala haya kufunga safari hadi eneo la Donge mkoani Tanga yalipo maskani ya Majuto ambaye hata ukimwona tu unaweza kucheka kutokana na vituko vyake vingi vyenye kuvutia na kufurahisha.
Alivyoanza kuigiza
Majuto anaeleza alivyoanza kuigiza akisema: “Nilianza kuigiza mwaka 1958 nikiwa na umri wa miaka 10. Nilikuwa darasa la pili, Shule ya Msingi ya Msembweni mkoani Tanga, kuna siku tukiwa darasani mlevi mmoja alikuwa akipita karibu na shule yetu, huku akipiga ngoma kwa nguvu.”
Anaongeza:”Mwanafunzi mmoja akajiunga kucheza huku mlevi yule akizidi kusogea na kuongeza mdundo, mwalimu aliyekuwa akifundisha alikasirika na kumtuma mwanafunzi mwingine kumfukuza yule mlevi, lakini badala ya kumfukuza mlevi na kumwita mwanafunzi anayecheza naye akajiunga kucheza.”
Anasema kuwa mwalimu alivyoona hivyo, alitoka nje ya darasa kwa kishindo na kwenda kumfukuza yule mlevi, lakini cha kushangaza wakati mwalimu alipomkaribia yule mlevi alianza kutingisha mabega yake kufuatisha mdundo ya ngoma, badala ya kumfukuza mlevi naye alijiunga na kuanza kucheza.
“Baada ya dakika tano kama shule nzima ilikuwa ikicheza ngoma, na baada ya hapo niliazimia kuwa msanii kwa kuwa sanaa ilimlainish hata mwalimu wetu aliyekuwa mkali kupita kiasi,” anasimulia Majuto.
Anaongeza kuwa mwaka 1966 alimaliza darasa la nane na mwaka uliofuatia alijiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ambapo walikuwa wakilipwa Sh20 na kufanya kazi hadi mwaka 1970, alipolazimika kuacha kwa sababu alikosa nafasi ya kufanya sanaa kama ndoto zake zilivyokuwa zikimtuma tangu 

Friday, September 6, 2013

kutoka UDOM:::IMPORTANT NOTICE TO ALL STUDENTS



IMPORTANT NOTICE TO ALL STUDENTS 
PAYMENT OF TUITION FEES AND DIRECT COSTS:
ALL UDOM STUDENTS (FIRST YEAR AND CONTINUING STUDENTS) ARE REQUIRED TO PAY TUITION FEES AND DIRECT COSTS FOR THE 2013/2014 ACADEMIC YEAR BY 30TH SEPTEMBER 2013.  STUDENTS WHO WILL FAIL TO COMPLY WITH THIS NOTICE WILL NOT BE ALLOWED TO REGISTER FOR 2013/2014 ACADEMIC YEAR, WHICH IS SCHEDULED TO BEGIN ON 12TH OCTOBER 2013.
CONTINUING STUDENTS WITH OUTSTANDING BALANCE WILL NOT BE ALLOWED TO REGISTER FOR 2013/2014 ACADEMIC YEAR UNTIL PAY THEIR DUES BEFORE 30TH SEPTEMBER 2013.
EXPECTED GRADUANDS (UNDERGRADUATES AND POST GRADUATES) WHO HAVE OUTSTANDING BALANCES IN RESPECT OF TUITION FEE AND DIRECT COSTS WILL NOT BE ALLOWED TO GRADUATE UNTIL THEY PAY THEIR DUES.  BY THIS NOTICE ALL EXPECTED GRADUANDS WITH OUTSTANDING BALANCES ARE REQUIRED TO SETTLE THEIR DUES BEFORE 20TH OCTOBER 2013.
DITAILS ON THE DIRECT COSTS AND TUITION FEE ARE GIVEN IN THE UNIVERSITY WEBSITE 
N/B:ALL STUDENTS MUST PAY THE WHOLE AMOUNT OF TUITION FEE AND DIRECT COSTS.
BANKING INFORMATION
Payment should be made to the following accounts: 
BENEFICIARY:                      University of Dodoma
BANKER:                              CRDB PLC, University of Dodoma Branch
ACCOUNT NUMBER            01J108 2344 900
SWIFT CODE:                     CORU TZ TZ
IMECOPIWA KUTOKA WEB YA CHUO NA TEAM TRUTH HAIHUSIKI KWA MASWALI
SOMA ZAIDI HAPA

Daz Baba achanganyikiwa na kuwa KICHAA... wadau wasema ni Bangi na Madawa ya kulevya



Habari kutoka kwa chanzo cha uhakika zinadai kuwa msanii wa zamani wa kundi Daz Nundaz na hitmaker wa ‘Figure Namba 8′ Daz Baba amechanganyikiwa kutokana na hivi karibuni kuonekana akifanya vitendo ambavyo havilingani na mtu mwenye akili timamu.

 Chanzo hicho kimesema Daz alionekana maeneo ya Morogoro akiwa katika hali iliyowatia mashaka ndugu, mashabiki wa muziki pamoja na wasanii wenzake.

 Rafiki wa karibu na Daz Baba amemwambia  mwandishi wetu  jana akiwa mkoani Morogoro kuwa hali ya msanii huyo ni mbaya na ana dalili zote za mtu ambaye  ni  Kichaa na amekuwa mtu wakuzunguka barabarani huku akifanya matukio ya ajabu.

 “Hivi juzi juzi Daz alienda nyumbani kwa Afande usiku, akapiga kelele sana, Afande akaamka na kumkuta Daz akiwa mchafu na akiongea maneno ambayo hayaeleweki, baadaye alitaka kumfanyia tendo baya kwa mfanyakazi wa kike wa Afande lakini hakufanikiwa, ila watu wakajua kweli Daz hayuko sawa,” alisema.

 Baada ya taarifa hiyo mwandishi wetu  alimtafuta Afande Sele, ndipo alipothibitisha kutokea kwa tukio hilo nakusema ameshampatia taarifa dada yake Daz wa Dar es salaam.

 “Kweli hali ya Daz ni mbaya sana nimejaribu kumuweka sawa lakini nimeshindwa labda wakamfanyie matambiko ya kwao kwasababu baba na mama yake walifariki na walikuwa hawaelewani labda kuna matatizo ya kifamilia.” alisema Afande.

Thursday, September 5, 2013

dowload::: MR BLUE - PESA


INGIA HAPA KUDOWNLOAD

Official Video | BEEMAN ft WYRE - KIZUNGUZUNGU

Official Video | BEEMAN ft WYRE - KIZUNGUZUNGU

MMHHHH Shoga lafumaniwa na mkewe "likiliwa jicho" ( likiliwa tigo)




Kuna kitu ningependa niwashirikisha marafiki wa ukurasa huu ingawa ni aibu lakini ni vyema pia na akina dada wenzangu na hata vijana wa kiume wajifunze kutoka kwangu.

Mimi ni binti wa miaka 30 na nimebahatika kupata watoto wawili wakiume na wakike na namshukuru muumba kwani wana afya tele.

Niliolewa miaka 5 iliyopita na kijana mmoja ambaye tulikuwa wapenzi kwa takribani miaka sita na baadae tukaona ni vyema tuoane.

Katika maisha yetu ni kweli baba watoto amekuwa mtu asiye na makuu na mwenye kujali na mara nyingi tumekuwa hatuna matatizo madogo madogo kwani yeye ni mzee wa mesheni town.

Nianza kusikia mtaani kuwa mme wangu sio riziki lakini nilipuuzia kwani siku hizi kijana akiwa na maendeleo kidogo na ni handsome basi watu hawataacha kumpa kashfa kibao na hasa ukizingatia kazi za mishemishe nazo huwa na majanga yake.

Hata nilipoambiwa kuwa kwa nini anakuwa karibu sana na waarabu nilipuuza kwani mimi nilimwamini sana mme wangu. Na pia nilijiuliza mbona deal zake nyingi ni dubai na oman kwa hiyo ni kawaida tu ukizingatia huko ndio kuna watu wa rangi hiyo.

Kuna wakati nakumbuka niliwahi kumuomba ruhusa niende kijijini kwetu nikawasalimie wazazi na bila hiyana akaniwekea gari tayari pamoja na vijisenti vya kuwapa wazazi na kuwa ningekaa kule kwa muda wa wiki mbili.

Kwa bahati mbaya sikuweza kukaa siku zote kwani kuna tatizo lilijitokeza ikanibidi nirudi mapema bila kumwambia nikijua tungejadiliana kunako nyumbani nikifika

Sikuamini kwani kufika nyumbani tena kwenye chumba.chetu cha kulala nikaona boxer ngeni nikamuuliza hii ni ya nani? Nakumbuka akanijibu kuwa ni ya shamba boy, nikajaribu kuuliza ilifikaje ndani kwetu akadai usiku alikuwa anaogopa hivyo akawa akilala na shamba boy.

Ulikuwa ni mtihani kwangu ingawa ilinibidi niamini huku nikijiuliza kama baba anakuwa muoga sie wana famialia tunaohitaji ulinzi wake itakuwa vipi? Basi yakaisha na maisha yakaendelea.

Ilipita miezi na sasa ni miaka ambapo wiki iliyopita nimemfumania live akiwa na jibaba la kiarabu tena bila aibu juu ya kitanda chetu cha ndoa.

Nilishtuka na kidogo nizirai lakini nilijikaza hasa ukizingatia sikutaka majirani wapate hili, kwa aibu akanifuata na kuniambia nimsamehe kwani ni mara ya kwanza na amefanya hivyo ili apate deal la kwenda Dubai kufanya shoping ya nyumba na ofisi yetu mpya.

Kweli niliamua kumuachia nyumba na nimeondoka na wanangu mpaka sasa nipo nimepanga sehemu ambapo nimeanza maisha mapya na kamwe hata niona maana ni laana.

Nawaasa vijana wasiwe na  haraka ya kukimbilia maisha mazuri, one step at a time.....

Dunia imeisha

MAPENZI: Linex amwagana na DEMU wake wa Kizungu...kisa ni Pesa na Muziki.


Kilichokua kinafata ni ndoa ambayo ilikua imepangwa na wote wawili baada ya Linex kukamilisha hatua muhimu ambayo ni kumvisha pete mchumba wake anaitwa Suvi raia wa Finland mwezi March 2013.
 

Millardayo amepata nafasi ya kuzungumza na Linex 
kwenye exclusive interview ambayo amekiri ni kweli imebidi kila mmoja aendelee na maisha yake na mapenzi yao kuisha kwa sababu kadhaa zilizojitokeza.
 
Sababu kubwa ni Suvi kutaka Linex ahamie Finland moja kwa moja na kwenda kuanza maisha mengine kwenye hiyo nchi ambayo ndio ingekua mara yake ya kwanza kufika, namkariri Linex akisema ‘kwa nia nzuri kabisa imekua ngumu kwangu kukubali hayo maamuzi, nataka kuendelea kufanya muziki wangu nyumbani’
‘Tayari nimetumia miaka zaidi ya 10 kutengeneza jina langu kwenye muziki hapa Tanzania, bongo mimi naishi vizuri na familia yangu naisaidia… sina tatizo la kuhangaikia maisha kwa kiasi hicho cha kwenda kuanza tena, yani ni sawa na mtu ameshaanza chuo mwaka wa kwanza alafu mtu anataka kukurudisha darasa la kwanza’
 
Sababu nyingine ni ‘mimi nimekua upande sana wa mama yangu, tayari nimeshanunua kiwanja namjengea mama yangu na biashara pia hivyo siwezi kuacha hii mipango isimame kwa sababu ya mapenzi, siwezi kuondoka kwenye maisha yangu kwenda kwenye maisha mengine sababu ya mapenzi’
 
Linex na Suvi walikua wamepanga kuoana lakini kwanza ilikua Linex anatakiwa kwenda Finland kutambulishwa manake ndugu wa mke mtarajiwa walikua wanamsikia tu hawajawahi kumuona, kisha angekwenda Finland kufunga ndoa alafu arudi tena Tanzania kufanya sherehe kisha aondoke moja kwa moja kuhamia Finland’
 
Ndoa ilikua inatakiwa kufungwa kabla ya february 2014 ambapo uhusiano wao umedumu kwa miaka miwili… baada ya kukutana kwa mara ya kwanza kwenye ndege Linex akitokea Nairobi ambapo Suvi  alikua anatokea Finland na kuja Tanzania/Afrika kwa mara ya kwanza, Linex akamfanyia ukarimu ikiwa ni pamoja na kumpeleka mpaka hotelini’
 
Kwa kuwa Suvi hakuwa na simu kwa wakati huo, Linex alimwachia namba ya simu lakini Suvi alikua kimya kwa kipindi chote cha mwezi mmoja mpaka siku moja Linex alipokutana nae Mlimani City Dar es salaam ndio urafiki ukaanza, Linex akawa anamtembelea hotelini na Suvi akawa anakwenda nyumbani kwa Linex kwa kipindi cha miezi minne ndio wakaingia mapenzini.

Credit: MillardAyo 

Video ya wabunge wa Upinzani wakitoka NJE ya Bunge baada ya Freeman Mbowe kutimuliwa leo mchana.



Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh Mbowe alitolewa nje ya Bunge leo  mchana baada ya kukaidi amri ya Naibu spika Mh Ndugai alipomwamuru akae na Mh Mbowe kutokutii amri hiyo. 

Mh ngudai aliamuru askari wa Bunge kumtoa nje, hata hivyo baadaye wabunge karibu wote wa upinzani walitoka pia isipokuwa Mh. Augustin Mrema wa TLP. 

TAZAMA  VIDEO  YA  TUKIO  ZIMA  HAPO  CHINI.


Mwanafunzi wa darasa la pili huko PWANI abakwa na wanafunzi wenzake wanne na kuharibiwa vibaya




MATUKIO ya uvunjifu wa maadili kwenye shule mbalimbali hapa nchini yameendelea kushamiri baada ya wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Lulanzi wilayani Kibaha mkoani Pwani kutuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la pili na kumsababishia maumivu yaliyopelekea kulazwa Hospitali ya Tumbi kwa matibabu.
 
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana babu wa mtoto huyo, Jacob Mrope alisema tukio hilo lilitokea Septemba 2 saa 6 mchana ambapo mjukuu wake ambaye ni yatima alikuwa akitoka shuleni huku akiwa na wenzake wawili wakike, walikimbizwa na watuhumiwa hao ambapo yeye alishindwa kukimbia kutokana na kuumia mguu na kujikuta akibakwa. 


Mrope alisema kuwa wanafunzi wenzake aliokuwa nao walisema kuwa baada ya watuhumiwa hao kumkamata walimziba mdomo kisha wakaanza kumuingilia kwa zamu ambapo mwanafunzi huyo hakuweza kupata msaada wowote hadi watuhumiwa hao kutimiza haja zao. 
"Wenzake waliokuwa nao walitoa taarifa nyumbani kwa mlezi wake ambaye ni dada yake ambapo alikwenda na kumkuta akitokwa na damu nyingi na alipomuuliza alisema kuwa wenzake wamembaka ndipo alimchukua na kumpeleka shuleni kutoa taarifa," alisema Mrope.
 
Kwa upande wake dada yake Lwiza alisema kuwa yeye alipata taarifa kupitia kwa wanafunzi hao ambao alikuwa nao wakati wanatoka shule na kukimbizwa na watuhumiwa hao, ambapo walisema kuwa ilibidi warudi na kumkuta mwenzao akitokwa damu, wamkokota mwenzao hadi nyumba iliyojirani na kumjulisha.
 
"Alikuwa kwenye hali mbaya kwani alikuwa akitokwa na damu nyingi na nilipomuuliza alisema kuwa amebakwa na mtuhumiwa ambaye alimtambua na kumtaja jina mwenye umri wa miaka 10 akiwa na wenzake watatu," alisema Lwiza.
 
Lwiza alisema kuwa baada ya kuona hali ile walimpeleka shule na uongozi wa shule ukamwelekeza kufuata taratibu za kisheria ambapo walikwenda Serikali ya mtaa kisha kwenda polisi na baadaye Hospitali ya Tumbi kwa matibabu zaidi ambapo hadi juzi mwanafunzi huyo alikuwa bado kalazwa na hali yake inasemekana kuwa ni mbaya.
 
Naye Mwalimu mkuu wa shule hiyo ya Lulanzi, Anna Bilali alisema kuwa wao kama uongozi wa shule hawawezi kusema lolote kwani suala hilo liko kwenye vyombo vya sheria pamoja na kitabibu na watakuwa tayari kusema mara taarifa zitakapokamilika.
 
"Ni kweli tukio hili limetokea lakini bado haijathibitishwa kama ni kweli au la na pia lilitokea nje ya shule na muda wa shule kwa wanafunzi wa madarasa ya chini walisharuhusiwa kurudi nyumbani mara baada ya masomo kwisha," alisema Bilali.
 
Akizungumzia tukio hilo mjumbe wa mtaa wa Lulanzi, Rasul Shaban alisema kuwa walipata taarifa hiyo na kushangazwa na kitendo hicho ambapo tukio hilo ni la mara ya kwanza kutokea katika shule hiyo ambayo iko kwenye mtaa huo na pia walitoa barua za kuwadhamini wanafunzi wanaotuhumiwa kufanya tukio hilo.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi mkoani Pwani Ulrich Matei alisema kuwa hadi sasa wanawashikilia wanafunzi wanne wenye umri kati ya miaka 10 na 13 kuhusiana na tukio hilo.


-Majira

SULUHU YA MGOGORO KATI YA DAYNA NA DIAMOND KUHUSU my number 1 HII HAPA


Baada ya sakata la kuibiana nyimbo lilichokua takribani siku mbili kati ya msanii Diamond Platnum na Dayna Nyange,producer Shedy  ameamua  kukata  mzizi  wa  fitina  kwa  kuuanika  ukweli  wa  mambo....

Akiongea  na  #Team tizniz,Shedy  amefunguka  kama  ifuatavyo: 

“Beat hii nilitengeneza mimi kwa idea zangu mwenyewe. Alikuja Dayna akaupenda ule mdundo na mimi sikumnyima , akafanya demo lakini hakulipia kitu.


"Sasa ikapita zaidi ya miezi sita kila nikimuliza vipi anasema bado atakuja kufanya.Kuna siku Diamond akaja studio ,akataka kusikia midumdo  niliyonayo.

"Bila  hiyana, nilimchezea midundo mbalimbali  kama  mteja,  ila jamaa akavutiwa sana na ule mdundo ambao Dayna aliufanyia demo.
 

"Baada  ya Diamond   kuupenda  mdundo  huo, niliamua  kumpigia simu Dayna na kumuelezea kwamba Diamond kapenda kufanya kazi katika ile beat,Dayna akakubali kabisa,

"Sasa nashangaa yeye kusema diamond kamuibia wakati alikubali  yeye  mwenyewe."

Tuesday, September 3, 2013

HAWA NDIO MABILIONEA 10 WANAO ITIKISA TANZANIA.............

KATI ya miaka ya 1960 hadi 1980, mtu kuwa tajiri alionekana ni hatari kwa taifa, tena mali zake alizimiliki kwa kificho, vinginevyo angeitwa mhujumu uchumi. Lakini kwa sasa mambo yamebadilika, taratibu sera za kibepari zinatawala, ujamaa unapewa kisogo.
Dk. Reginald Mengi.
Mtu kama ni mbunifu, ana nidhamu ya kutofuja pesa na anafanya kazi sana kwa nini asiwe tajiri? Utandawazi unasaidia ndiyo maana…
KATI ya miaka ya 1960 hadi 1980, mtu kuwa tajiri alionekana ni hatari kwa taifa, tena mali zake alizimiliki kwa kificho, vinginevyo angeitwa mhujumu uchumi. Lakini kwa sasa mambo yamebadilika, taratibu sera za kibepari zinatawala, ujamaa unapewa kisogo.
Dk. Reginald Mengi.
Mtu kama ni mbunifu, ana nidhamu ya kutofuja pesa na anafanya kazi sana kwa nini asiwe tajiri? Utandawazi unasaidia ndiyo maana leo tunaweza kuwatambua mabilionea wakubwa ambao wanastahili pongezi kwa hatua walizopiga. Tusisahau kuwa wanaibeba nchi kwa ulipaji kodi.
Said Salim Awadh Bakhresa.
1. SAID BAKHRESA
Jina lake kamili ni Said Salim Awadh Bakhresa. Jarida la Forbes mwaka jana, lilimuorodhesha miongoni mwa matajiri 40 Afrika kwamba anamiliki utajiri wenye thamani ya dola milioni 620 (karibu shilingi trilioni moja). Hata hivyo, inadaiwa kuwa tabia ya usiri wa Bakhresa inafanya mali zake zisijulikane sana, ila ni tajiri zaidi ya kiwango hicho.
Ndiye mmiliki wa makampuni ya Bakhresa yanayotoa bidhaa zenye chapa ya Azam ambazo zinauzwa nchi mbalimbali Afrika. Ana viwanda vya nafaka na vinywaji, vyombo vya usafiri wa majini, uuzaji wa chakula, bidhaa za plastiki na kadhalika. Ndiye mmiliki wa Klabu ya Azam FC.
2. GULAM DEWJI
Huyu ni baba wa mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji ‘Mo’. Jarida la Forbes mwaka jana lilimtaja kuwa na utajiri wenye thamani ya dola milioni 560 (karibu shilingi bilioni 900). Mafanikio yake kibiashara yalianza mwaka 1970. Kiwanda chake cha 21st Century Textiles, kinatajwa kuwa moja ya viwanda vikubwa vya nguo Afrika.
3. ROSTAM AZIZ
Inadaiwa anamiliki utajiri wenye thamani ya dola milioni 420 (shilingi bilioni 672). Anamiliki karibu asilimia 40 ya hisa Kampuni ya Vodacom Tanzania. Ni mmiliki wa Kampuni ya Caspian inayohusika na uchimbaji wa madini na ukandarasi nchini Tanzania, nchi kadhaa za Afrika na Asia.
4. DK. REGINALD MENGI
Anatajwa kumiliki utajiri wenye thamani ya dola milioni 280 (karibu shilingi bilioni 450). Ni mmiliki wa kundi la makampuni ya IPP, yanayomiliki vyombo vya habari, viwanda, migodi ya dhahabu, Tanzanite na kadhalika.
5. ALI MUFURUKI
Utajiri wake unatajwa kuwa na thamani ya dola milioni 110 (shilingi bilioni 176). Ni mmiliki wa kundi la makumpuni ya Infortech Investment, inayomiliki maduka yanayouza vitu vya rejareja Tanzania na Uganda. Vilevile ana vitega uchumi vingine.
6. MUSTAFA SABODO
Ni mfayabiashara mkubwa sana nchini anayemwaga mamilioni kwa misaada. Wakati wa kuanzishwa kwake, aliipa Taasisi ya Mwalimu Nyerere shilingi milioni 800, akasaidia shilingi milioni 100 katika mradi wa kustawisha mimea jamii ya kunde. Vilevile alikipa Chadema shilingi milioni 300. Inadaiwa kuwa utajiri wake unazidi shilingi bilioni 100. Kampuni yake ya Khoja Shia Itnasheri Jamat (KSIJ), ndiyo yeye tenda ya kujenga maeneo ya maegesho ya magari Posta, Dar es Salaam, mradi wenye thamani ya shilingi bilioni 5.6.
7. ABDUL-AZIZ ABOOD
Kiwango chake cha utajiri hakiwekwi sana wazi lakini anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea 10 wanaotikisa nchi kwa sasa. Anamiliki viwanda kadhaa mkoani Morogoro, vyombo vya habari, Abood Radio na TV. Anamiliki mabasi ambayo yanafanya safari zake kati ya Morogoro, Mbeya na Dar es Salaam. Ni Mbunge wa Morogoro Mjini (CCM).
8. MICHAEL SHIRIMA
Ni mmiliki mkuu wa Shirika la Ndege la Precision ambalo linafaya safari zake ndani ya Tanzania pamoja na nchi mbalimbali za Afrika. Ana asilimia tano ya hisa katika Beki ya I&M (Tanzania), vilevile ni memba katika bodi ya wakurugenzi wa benki hiyo yenye thamani ta shilingi bilioni 200. Hisa zake Precision ni asilimia 42.91.
9.  YUSUF MANJI
Kiwango halisi cha utajiri wake bado hakifahamiki lakini anafahamika kama mmoja wa mabilionea wakubwa nchini Tanzania. Ni mmiliki wa makampuni ya Quality Group na majengo ya Quality Centre, Quality Plaza na kadhalika. Ni Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga na utajiri wake umeifaya timu kutotetereka tangu alipoanza kuiongoza.



10. MOHAMMED DEWJI
Baba yake anashika nafasi ya pili katika orodha hii. Dewji au Mo kama anavyoitwa na wengi, anatajwa kuwa bilionea nambari moja katika orodha ya mabilionea vijana Afrika (orodha hiyo tuliitoa wiki iliyopita). Ni mmiliki wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL) ambayo inatengeneza faida ya shilingi bilioni 136 kwa mwaka.

SIRI YAFICHUKA: KISA CHA AUNT EZEKIEL KUPIGWA CHUPA NI PENZI LA JEFF LINALOGOMBANIWA NA WAREMBO


Siri  ya  Aunt Ezekiel  kupigwa  chupa  club  na  kujeruhiwa  mkono wake imefichuka.Habari  za  uhakika  zinadai  kwamba  Aunt  alipigwa  chumba  na  mrembo  wa  kike  katika  harakati  za  kugombea  penzi  la  mwanaume...

 Mwanaume  aliyekuwa  akigombaniwa  ni  Jeff  ambaye  anadaiwa  kuwa  ni boyfriend  wa  Yvonne ( aliyempiga  aunt  chupa )..

Kutokana  na  aibu  hiyo, mastaa  kadhaa  wameongea  na  mpekuzi  kwa  nyakati  tofauti  na  kueleza  masikitiko  yao  dhidi  ya  aunt  Ezekiel  ambaye  ni  mke  wa  mtu... 

Katika  maongezi  hayo, mastaa  hao  walidai  kwamba  mambo  anayofanya  aunt  hayaendani  na  matendo  ya  mke  wa  mtu. Aunt amekuwa  ni mtu wa baa, club  na  madanguro  mengine  ya  usiku, hali  inayotia  shaka  uhai  wa  ndoa  yake. 

" Aunt  kapata mume mwelewa sana  ambaye  kakiheshimu sana  kipaji  chake  kwa  kuto-mbana.

"Cha  ajabu yeye ameanza  kufanya  mambo ya aibu  kwa kuendekeza ngono  nje  ya  ndoa  yake" alisema star mmoja wa kike aliyekataa kuwekwa wazi jina lake ..

Muigizaji mwingine wa kike ambaye hakuwa  tayari  kuchorwa  mtandaoni  alisema:
  
 "Aunt ajiangalie sana.Yeye  ni mke wa mtu kwa  sasa. Kitendo  alichokifanya kimemchafua mpaka ukweni na asipokuwa makini  atampoteza mume wake... 

"Yvonne alikuwa anamlinda bwanake, mi  siwezi kumlaumu sana ila nyie wanaume ni watu wabaya sana pia"

sakata la madawa ya kulevya bado bichi sasa ni DIAMONDI & MASANJA MKANDAMIZAJI


Ni mwendelezo wa Sakata la unga ambalo sasa ni janga kwa taifa letu. Orodha zinaendelea kutoka na kuwekwa wazi huku bunge likivutana kuhusu sakata hlo.

Tetesi za kutoka ndani zinasema msanii wa muziki Naseeb Abdul au Diamond ambaye alijitapa wazi mbele ya kamera za habari kuwa anamiliki ukwasi zaidi ya bilioni moja kwenye akaunti yake, nyumba 5 za thamani Kijitonyama na Mikocheni na anatumia simu 6 za thamani ambazo zipo hewani muda wote tayari amenyang'anywa hati yake ya kusafiria na baadhi ya simu zake katika mwendelezo wa uchunguzi juu yake unaofanywa na vyombo vya dola.

Msanii pia wa maigizo Masanja Mkandamizaji ambaye anadaiwa kumiliki mkwanja mrefu na nyumba za thamani kubwa mpaka magari naye tayari ametajwa kuhusika na sembe.

Episode inaendelea,tuungane katka vita hii.

SOURCE: JF

Sunday, September 1, 2013

DIAMOND ATUHUMIWA KUIBA WIMBO WA DYNA..."MY NUMBER ONE"

 Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha,Msanii Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma nzito  baada ya  madai   kwamba wimbo anaotaka kuuachia wa No.1ni wa Dayna.

Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote.


Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna. Hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond anaotaka kuachia. 


Sikiliza demo  hiyo  hapo chini.

BADILIKENI:PICHA ZA UCHI ZA PENDO ZAANIKWA BAADA YA KUSHINDWA KULIPA DENI


Picha  za  uchi  za  mrembo  Pendo  zimeanikwa  hadharani  na  mmiliki  wa  club  maarufu  ya  Westland  baada  ya  binti  huyo  kushindwa  kulipa  deni  lake.....

Taarifa  zinadai  kwamba  Pendo  alikopa  pesa  toka  kwa  mmiliki  wa  club  hiyo  na  kuahidi  kuirejesha  pesa  hiyo  siku  ya  alhamisi  iliyopita....

Wakati  wa  mkopo  huo, Pendo  alipigwa  picha  za  uchi  kama  dhamana  na  akaahidi  kwamba  endapo  atashindwa  kurudisha  pesa  hiyo, basi  picha  zake  zianikwe  hadharani...

Siku  ya  mkataba  ilifika  huku  Pendo  akiwa  hana  hiyo  pesa.Hali  hiyo  ilimfanya  jamaa  azianike  picha  zake  kama walivyokubaliana.