Tuesday, August 20, 2013

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI


 1. Mwili kukingwa na kupata mafua ya marakwa mara kwasababu ya kinga mwili inayopambana na maambukizi itwayo imunoglobini A

2. Wanawakehupata mzunguko wa hedhi usiyobadilika badilika kwasababu ya kupata homoni maalumu za mwanaume zittwazo filemoni.

3. Mwili kuwa imara kupambana na msongo wa mawazo.

4. Kushusha mapigo ya moyo yaliyo juu, hii hukufanya ujiepushe na kupata magonjwa ya moyo.

 5. Kuondoa mafuta yenye madhara mwilini na kutengeneza mafuta yenye manufaa mwilini.

 6. Kuteneneza muonekano mzuri wa misuli ya mapajani namwili kwa ujumla.

7. Kuongeza homoni ya kike itwayo istrojeni, hii humfanya mwanamke kuwa mrembo.

 8. Huongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu kwenye ubongo, kwasababu ya mzungumko mzuri wa damu wakati wa kufanya mapenzi

9. Huongeza morali ya kazi na kufanya kujisikia vizuri kimawazo.

 http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/507422-faida-za-kugegedana-hizi-hapa.html

No comments:

Post a Comment