Thursday, September 5, 2013

Video ya wabunge wa Upinzani wakitoka NJE ya Bunge baada ya Freeman Mbowe kutimuliwa leo mchana.



Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh Mbowe alitolewa nje ya Bunge leo  mchana baada ya kukaidi amri ya Naibu spika Mh Ndugai alipomwamuru akae na Mh Mbowe kutokutii amri hiyo. 

Mh ngudai aliamuru askari wa Bunge kumtoa nje, hata hivyo baadaye wabunge karibu wote wa upinzani walitoka pia isipokuwa Mh. Augustin Mrema wa TLP. 

TAZAMA  VIDEO  YA  TUKIO  ZIMA  HAPO  CHINI.


No comments:

Post a Comment