Thursday, August 8, 2013

HII KALI: WANAUME WA KIAFRIKA WANAONGOZA KUWA NA UUME MKUBWA....





Kwa sababu ambazo binafsi sizielewi, mwanasayansi mmoja kutoka nchini Ireland aliamua 

kufanya “utafiti” wa kulinganisha wastani wa ukubwa wa uume wa watu wa nchi mbalimbali. Alifanya utafiti huo kwa kulinganisha mataifa 113, ambapo wanaume wa Afrika ndio waliongoza kwa ukubwa na Waasia walikua wa mwisho.


Utafiti huo ulifanywa na Profesa wa saikolojia, Richard Lynn, wa Chuo Kikuu cha Ulster na utachapishwa katika jarida la kisayansi la Personality and Individual Differences. Profesa huyo alisema matokeo ya utafiti wake yamethibitisha nadharia ya awali kuhusu mahusiano ya urefu wa uume, ya kwamba Negroids(watu weusi) ndio wanaoongoza kwa ukubwa wa wastani wa uume, na Mongoloids (Waasia) ndio wana wastani mdogo kuliko watu wote.


Top 4 kati ya nchi zote 113
1. Congo ndio wanaoongoza kwa urefu wa wastani wa uume ambao ni inchi 7.1
2. Ecuador kwenye wastani wa inchi 7.0, 
3. Waghana inchi 6.8; na 
4. Raia wa Colombia inchi 6.7.


Katika wanaume wa Ulaya, 
1. Wataliano ndio walioongoza na wastani wa inchi 6.2
2. Ugiriki inchi 5.8 
3.Ujerumani inchi 5.7
4. Waingereza inchi 5.5 , na 
5. Wafaransa, inchi 5.3
Walioongoza kwa udogo katika mataifa yote yaliyofanyiwa utafiti ni Korea zote mbili (Kaskazini na Korea ya Kusini) ambao wote kipimo chao, ni wastani wa inchi 3.8. 
Swali je Tanzania tupo wangapi?


USHAHIDI

No comments:

Post a Comment