Monday, August 5, 2013

18+ NDANI YA DARASA HURU: KWA VIGEZO HIVI KIDUME UTAPENDWA TU!!!!!!!!!!!!





Jana kulikua na kikao cha dharura na cha ndani ya TEAM TRUTH ambapo moja ajenda ilikua ni kunipongeza mimi (TEAM TRUTH 18+) kwa kazi nzuri ninayo ifanya na kwa ratiba ilikua nimalize session hii ya mapenzi jumatatu ila nikapewa muda zaidi hivyo kuamua leo kudondoka na hii kwa ajili ya mabrother wenzangu............................


watu wengi wamekua wakitafuta jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake na ni wazi kila mwanamke ana chaguo lake kwa mwanaume ampendae huendaa ukawa na vigezo kibao na bado akapenda vigezo vichache na ukabaki unashangaa why kantosa?

KWA MSAADA TEAM TRUTH 18+ NIMEAMUA KUDONDOKA NA VIGEZO 10 AMBAVYO NI KIVUTIO KWA WASICHA AU WANAWAKE WENGI.....................................................

wengi watajiuliza why not pesa? jibu ni rahisi sana imetokea mara nyingi mtu akapendwa tu bila kujali pesa na watu pia wakashangaa mbona hata sura hana? mchunguze mtu huyu kuna kigezo lazima kakuzidi na ukikigundua BELIEVE ME YOU WILL ALWAYS STAY CONNECTED WITH GIRLS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

1) kuwa na malengo yote ya muda mfupi na mrefu katika maisha yako na misimamo isiyo tingishika.

2) mwenye kujiamini.

3)mwenye kutunza siri na si mropokaji ovyo.

4) mcheshi (na hii kivutio kwa wasichana walio wengi)

5) hisia na uadilifu.

6) mwenye kusamehe tena na kusahau.

7) mwenye kujithamini.

8) mwenye utashi na upeo wa mambo.

9) huruma na heshima kwa wote wadogo na wakubwa

10) mwenye hadhi na mtanashati katika mambo yake ikiwemo uwezo binafsi wa upembuzi wa mambo.


No comments:

Post a Comment