Tuesday, July 30, 2013

WHY ALWAYS CLOUDS FM!!!!!!!!...."SINA MPANGO WA KUAJIRIWA NA "K....MA" YOYOTE.... (MWISHO MWAMPAMBA)



HALI SI SHWARI KATI YA KITUO CHA MATANGAZO CHA CLOUDS FM NA MWISHO MWAMPAMBA.........

 Mwisho Mwampamba amegeuka  mbogo  na  kufurumua  matusi  ya  nguoni  kwa  Clous Fm  baada  ya  kituo  hicho  kuanza  kumjadili  na  kumchambua...

Mwampamba, ambaye  ni  staa  namba  mbili  wa  shindano  la  big  brother  mwaka  2003  anadai  kutoridhishwa  na  kitendo  cha  Cloud  fm kuanza  kumjadili...

Staa  huyo  amedai  kwamba  yeye  anamaisha  yake  na  hivyo  haoni  haya  ya  kuanza  kufuatiliwa  kwa  kuwa  hana  mpango  wa  kuomba  ajira  kwa  yeyote...

"Clouds fm siwaelewi mnatafuta nini . Nahisi mnatafuta kupakazwa mafuta ya ubuyu . Tafadhali kusaga naona heshima inapungua . 


"Had mifugo yako hujawalea vizuri . Mimi sio msanii na pia sita ajiriwa na k**ma wowote yule . Stay away from me n my family.Ameandika  staa  huyo  katika    account  yake  ya  facebook


No comments:

Post a Comment