Monday, July 29, 2013

TEAM TRUTH TUNAOMBA RADHI KWA POSTI ILIYOPITA "KUHUSU KUAPDATE ACCAUNT YA MIKOPO'

Tunaomba radhi kwa posti ya kuapdate mikopo iliyo tolewa leo...................... upotoshaji huo umefanywa na moja ya team member wetu baada kusikia habari hizo tangu asubuhi kama ADMIN wa team truth naomba radhi na nachukua nafasi hii kusema kwa wanotakiwa kuapdate na wale tu ambao hawakupata nafasi tya kuupdate mwanzo account zao mwanzo................... POSTI HIYO KWA SASA HAIPO.

TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA NA KEEP IN TOUCH

No comments:

Post a Comment