Sunday, July 28, 2013

PEREMENDE MUSIC EMPIRE IMEPOKEA VIFAA VIPYA "KEEP IN TOUCH"


Recording label "peremende Music Empire" yenye maskani yake mjini Dodoma imepokea vifaa vipya vya production kutoka UK, akiongea na TEAM TRUTH  the CEO Erick Backamaza amethibitisha hilo na kuwataka watanzania kujiaanda kwa project tu.
................." sa ivi ni mawe baada ya mawe nimepokea vifaa vipya kutoka mbele na sasa tupo katika project ya kutengeneza muvie inayoitwa "40 DAYS" hivyo watanzania kaeni mkao"............ amen ma men.......
kwa sasa peremende ndo label inayo fanya vizuri zaidi kutokea Dodoma... kila la heri katika mafanikio yenu.

No comments:

Post a Comment